728x90 AdSpace

MPYA

[recent][ticker2]
01 May 2013

Download | Ben Pol - Jikubali [Audio & Lyrics]




 


BEN POL- JIKUBALI LYRICS

Verse1;
Unaweza kuwa Doctor, unaweza kuwa Star
Unataka kuwa Linah, unaweza kuwa Shaa
Kipaji Mali yako, Elimu Ngao yako
Usiache jambo Kati kwenye maisha yako
Unaweza kuwa Diamond, unaweza kuwa Jay
Unaweza kuwa JB, unaweza kuwa Ray
Mi Nakuasa it's your time,
Huwezi kuwa chini you've got somethin' special
Unampenda Lady Jay dee unamzimia Zitto
Trust me iko siku utatimiza ndoto yako
You can be a Boss, you can be a Lawyer
You can be the President
You'll be successful

Chorus;
Wakati wako ndio leo (leo)
Kutimiza malengo yako,
Nakusihi Anza sasa (sasa)
Jishughulishe utapata (rudia mara mbili)

Verse 2;
Utavunja vunja miamba, hamisha milima
Vikwazo lazima nawe usirudi nyuma
You'll be a hero, you can be the best
You can be a leader (dedicate yourself)
Tanzania ni yako, penda watu wako
Kuwa mfano bora kwenye jamii yako
Star Kama AY , kufika alipo FA
Inawezekana if you work hard in it
Na utafika mbali utazame ulikotoka
Mbunifu mwenye hadhi kama Hadija Mwanamboka
Unaweza kuwa rubani, unaweza Hakimu
Unataka kuwa Salama, unaweza kuwa Hasheem'

(Rudia chorus)

(Bridge)
You can be a champion (Jikubali)
You can be a teacher (Jikubali)
You can be a leader (Jikubali)
You can be a Preacher (Jikubali)

Download | Ben Pol - Jikubali [Audio & Lyrics] Reviewed by Nolniz on Wednesday, May 01, 2013 Rating: 5

Labels:

[Music][carousel1]

10 comments:

  1. nice song
    ..... Keep it up ben.

    ReplyDelete
  2. nice song
    ..... Keep it up ben.

    ReplyDelete
  3. kaka you are coping and past bt you done man,imetulia coz haikatazwi

    ReplyDelete
  4. u r the super ben:) they are struggling to be u but under the sun, such a thing is well known as IMPOSSIBLE!!
    Most of the the things and words are already said but what we do is to modify, apply quality instruments then RnB is alive!!!
    I am actually expecting something more from

    ReplyDelete
  5. ebwana da!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! UYU NDO BEN P bhana, iki kichwa nyie.

    ni poa xana kaka, keep it up we can

    ReplyDelete